OFISI YA RAIS — TAWALA ZA MIKOA NA IDARA MAALUM ZA SMZ
BARAZA LA MANISPAA KATI
Zanzibar | Wilaya ya Kati
MANISPAA KATI
+255 773 168 121 info@centraltc.go.tz
Jumatatu - Ijumaa: 7:30 - 15:30
|
Utalii
Wilaya ya Kati
Fursa za Utalii katika Wilaya ya Kati
Utalii
Wilaya ya Kati ina vivutio vingi vya utalii ikiwemo alama za kihistoria, magofu, mapango na maeneo ya asili yenye uzuri wa pekee. Baraza la Mji Kati linakusudia kuendeleza sekta ya utalii ili kuleta faida kwa wananchi na kuongeza pato la Wilaya.