Habari na Matukio
Baraza la Manispaa Kati Lafungua Mradi wa Maji Safi
Meya wa Baraza la Manispaa Kati amefungua rasmi mradi wa kusambaza maji safi katika maeneo ya Ng'ambo na Mwembe Ladu.
Mkutano wa Baraza la Madiwani Mwezi Juni 2026
Baraza la Madiwani limekutana kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo ikiwa ni pamoja na bajeti ya robo ya pili ya mwaka.
Soma ZaidiShule Tatu Zawashia Kompyuta na Vifaa vya Kisasa
Kwa msaada wa wadau wa elimu, shule tatu za msingi katika Wilaya ya Kati zimepata kompyuta na vifaa vya kisasa vya kujifunzia.
Soma ZaidiMasheha 42 Wapatiwa Mafunzo ya Kukabiliana na Maafa Wilaya ya Kati
Masheha 42 wa Wilaya ya Kati wamepatiwa mafunzo ya kukabiliana na maafa ili kuimarisha ustahimilivu wa jamii dhidi ya majanga ya asili na mengineyo.
Soma ZaidiBustani ya Jamii Jumbi Imefunguliwa kwa Umma
Mkurugenzi wa Baraza la Manispaa Kati anatangaza kwa wananchi wote kwamba Bustani ya Jamii iliyopo Jumbi Kilimani, Barabara ya Komodoo, kinyume na Lango la Mchoma itakuwa wazi siku za likizo, Jumamosi na Jumapili kuanzia saa 10 jioni hadi saa 4 usiku.
Soma ZaidiMadiwani Manispaa Kati Watakiwa Kuibua Vyanzo Vipya vya Mapato
Madiwani wa Baraza la Manispaa Kati wametakiwa kuibua vyanzo vipya vya mapato ili kuimarisha uchumi wa Baraza na kutoa huduma bora zaidi kwa wananchi.
Soma ZaidiMiradi ya Manispaa Kati Yatajwa Kuinua Uchumi wa Wananchi
Miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Baraza la Manispaa Kati imetajwa kuwa na mchango mkubwa katika kuinua uchumi wa wananchi wa Wilaya ya Kati.
Soma Zaidi