Miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Baraza la Manispaa Kati imetajwa kuwa na mchango mkubwa katika kuinua uchumi wa wananchi wa Wilaya ya Kati.
Miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Baraza la Manispaa Kati imetajwa kuwa na mchango mkubwa katika kuinua uchumi wa wananchi wa Wilaya ya Kati. Miradi kama vile Soko la Kikungwi, Vituo vya Daladala na Bustani ya Jumbi imeweza kutoa fursa za kibiashara na kiburudani kwa wananchi. Kwa habari zaidi tembelea: https://radiotadio.co.tz/zenjfm/2026/01/23/5154/