Baraza
Baraza la Manispaa Kati
Zanzibar
SMZ
Baraza la Manispaa Kati
+255 773 168 121
|
Asili
Wilaya ya Kati ina mashimo ya asili yanayotumika kuchimba kifusi na mawe, ambayo ni chanzo kikubwa cha malighafi za ujenzi. Wilaya ya Kati ndiyo wilaya pekee inayotoa mawe na kifusi kwa Zanzibar nzima, jambo linaloifanya kuwa rasilimali ya kipekee na muhimu kiuchumi.
Wilaya ya Kati
Shiriki: