Baraza
Baraza la Manispaa Kati
Zanzibar
SMZ
Baraza la Manispaa Kati
+255 773 168 121
|
Kilimo & Uvuvi
Ofisi ya Baraza la Mji Kati imeweza kupiga hatua kwa kuweka sehemu ya kitalu (bustani) ambayo ni sehemu moja wapo ya chanzo cha mapato na kivutio kwa wageni wanaokuja kupata huduma katika Ofisi hiyo. Baraza la Mji Kati linatoa huduma za bustani za aina zote kama vile miche ya aina ya michungwa, midimu, mifenesi na miparachichi.
Hanyegwa
Shiriki:

Una Nia ya Kuwekeza?

Wasiliana na ofisi yetu kwa maelezo zaidi kuhusu fursa hii.

Wasiliana Nasi