Kilimo & Uvuvi
Ofisi ya Baraza la Mji Kati imeweza kupiga hatua kwa kuweka sehemu ya kitalu (bustani) ambayo ni sehemu moja wapo ya chanzo cha mapato na kivutio kwa wageni wanaokuja kupata huduma katika Ofisi hiyo. Baraza la Mji Kati linatoa huduma za bustani za aina zote kama vile miche ya aina ya michungwa, midimu, mifenesi na miparachichi.
Kumbukumbu: Bustani ya Kwa Bihole kwa sasa siyo mali ya Baraza la Mji Kati.
Kumbukumbu: Bustani ya Kwa Bihole kwa sasa siyo mali ya Baraza la Mji Kati.