Imekamilika
Mradi wa Soko la Samaki la Kikungwi ni mpango wa kuanzisha na kuendeleza soko maalum la biashara ya samaki na bidhaa nyingine za baharini katika Kijiji cha Kikungwi. Mradi unalenga kuboresha mazingira ya biashara, kuongeza thamani ya bidhaa za baharini, na kukuza uchumi wa wajasiriamali wanawake, wafanyabiashara, na jamii kwa ujumla.
Eneo
Kikungwi
Mwaka
2025-2026
Gharama
TSh 324,296,660