Baraza
Baraza la Manispaa Kati
Zanzibar
SMZ
Baraza la Manispaa Kati
+255 773 168 121
|
Imekamilika
Mradi wa Soko la Samaki la Kikungwi ni mpango wa kuanzisha na kuendeleza soko maalum la biashara ya samaki na bidhaa nyingine za baharini katika Kijiji cha Kikungwi. Mradi unalenga kuboresha mazingira ya biashara, kuongeza thamani ya bidhaa za baharini, na kukuza uchumi wa wajasiriamali wanawake, wafanyabiashara, na jamii kwa ujumla.

Eneo

Kikungwi

Mwaka

2025-2026

Gharama

TSh 324,296,660

Shiriki: