Fursa za Uwekezaji
Wilaya ya Kati inatoa mazingira bora ya uwekezaji. Wasiliana nasi kwa habari zaidi kuhusu fursa zinazopatikana.
Uwekezaji wa Biashara — Tunguu na Jumbi
Shehia ya Tunguu ina mazingira mazuri ya uwekezaji na biashara katika sekta za huduma, kilimo, usafiri, ujenzi, na teknolojia. Kwa kutumia fursa hizi, wananchi wanaweza kuongeza mapato yao, kuunda ajira, na kuchangia maendeleo ya kiuchumi ya Wilaya ya Kati.
Soko la Dunga
Kupitia makusanyo ya ndani ya Baraza la Mji Kati limeweza kuwekezea sehemu za kibiashara katika kukuza pato la taasisi na Serikali kiujumla kwa kujenga masoko na maduka mbalimbali katika Wilaya ya Kati.
Soko la Kikungwi
Kupitia makusanyo ya ndani ya Baraza la Mji Kati limeweza kuwekezea sehemu za kibiashara katika kukuza pato la taasisi na Serikali kiujumla kwa kujenga masoko na maduka mbalimbali katika Wilaya ya Kati.
Maduka ya Kipilipilini (Maduka ya Chwaka)
Kupitia makusanyo ya ndani ya Baraza la Mji Kati limeweza kuwekezea sehemu za kibiashara katika kukuza pato la taasisi na Serikali kiujumla kwa kujenga masoko na maduka mbalimbali katika Wilaya ya Kati.
Maduka ya Temeke Dunga
Kupitia makusanyo ya ndani ya Baraza la Mji Kati limeweza kuwekezea sehemu za kibiashara katika kukuza pato la taasisi na Serikali kiujumla kwa kujenga masoko na maduka mbalimbali katika Wilaya ya Kati.