Baraza
Baraza la Manispaa Kati
Zanzibar
SMZ
Baraza la Manispaa Kati
+255 773 168 121
|

Wilaya ya Kati inatoa mazingira bora ya uwekezaji. Wasiliana nasi kwa habari zaidi kuhusu fursa zinazopatikana.

Wasiliana Nasi
Biashara Tunguu na Mitaa ya Jumbi

Uwekezaji wa Biashara — Tunguu na Jumbi

Shehia ya Tunguu ina mazingira mazuri ya uwekezaji na biashara katika sekta za huduma, kilimo, usafiri, ujenzi, na teknolojia. Kwa kutumia fursa hizi, wananchi wanaweza kuongeza mapato yao, kuunda ajira, na kuchangia maendeleo ya kiuchumi ya Wilaya ya Kati.

Biashara Dunga

Soko la Dunga

Kupitia makusanyo ya ndani ya Baraza la Mji Kati limeweza kuwekezea sehemu za kibiashara katika kukuza pato la taasisi na Serikali kiujumla kwa kujenga masoko na maduka mbalimbali katika Wilaya ya Kati.

Biashara Kikungwi

Soko la Kikungwi

Kupitia makusanyo ya ndani ya Baraza la Mji Kati limeweza kuwekezea sehemu za kibiashara katika kukuza pato la taasisi na Serikali kiujumla kwa kujenga masoko na maduka mbalimbali katika Wilaya ya Kati.

Biashara Kipilipilini

Maduka ya Kipilipilini (Maduka ya Chwaka)

Kupitia makusanyo ya ndani ya Baraza la Mji Kati limeweza kuwekezea sehemu za kibiashara katika kukuza pato la taasisi na Serikali kiujumla kwa kujenga masoko na maduka mbalimbali katika Wilaya ya Kati.

Biashara Temeke Dunga

Maduka ya Temeke Dunga

Kupitia makusanyo ya ndani ya Baraza la Mji Kati limeweza kuwekezea sehemu za kibiashara katika kukuza pato la taasisi na Serikali kiujumla kwa kujenga masoko na maduka mbalimbali katika Wilaya ya Kati.