Baraza
Baraza la Manispaa Kati
Zanzibar
SMZ
Baraza la Manispaa Kati
+255 773 168 121
|

Wilaya ya Kati inatoa mazingira bora ya uwekezaji. Wasiliana nasi kwa habari zaidi kuhusu fursa zinazopatikana.

Wasiliana Nasi
Kilimo Hanyegwa

Bustani ya Hanyegwa

Ofisi ya Baraza la Mji Kati imeweza kupiga hatua kwa kuweka sehemu ya kitalu (bustani) ambayo ni sehemu moja wapo ya chanzo cha mapato na kivutio kwa wageni wanaokuja kupata huduma katika Ofisi hiyo. Baraza la Mji Kati linatoa huduma za bustani za aina zote kama vile miche ya aina ya michungwa, midimu, mifenesi na miparachichi.

Kilimo Kwa Bihole

Bustani ya Kwa Bihole

Ofisi ya Baraza la Mji Kati imeweza kupiga hatua kwa kuweka sehemu ya kitalu (bustani) ambayo ni sehemu moja wapo ya chanzo cha mapato na kivutio kwa wageni wanaokuja kupata huduma katika Ofisi hiyo. Baraza la Mji Kati linatoa huduma za bustani za aina zote kama vile miche ya aina ya michungwa, midimu, mifenesi na miparachichi. Kumbukumbu: Bustani ya Kwa Bihole kwa sasa siyo mali ya Baraza la Mji Kati.

Kilimo Jumbi

Bustani ya Jumbi

Ofisi ya Baraza la Mji Kati imeweza kupiga hatua kwa kuweka sehemu ya kitalu (bustani) ambayo ni sehemu moja wapo ya chanzo cha mapato na kivutio kwa wageni wanaokuja kupata huduma katika Ofisi hiyo. Baraza la Mji Kati linatoa huduma za bustani za aina zote kama vile miche ya aina ya michungwa, midimu, mifenesi na miparachichi.